Rudi kwenye Ukumbusho
Mohamed Kayego Kalebe

Mohamed Kayego Kalebe

Raia

Hali: Alitoweka

Tarehe: 2023-04-05

Eneo: Katoro, Geita

Maisha

Mohamed alikuwa mkazi wa Katoro, Geita.

Mazingira

Alikamatwa na watu wengine sita (6) na maafisa waliojitambulisha kuwa ni askari polisi tarehe 5 Aprili 2023. Ndugu walifika vituo vyote vya polisi hawakumkuta. Hajapatikana mpaka leo yeye na hao wenzake.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025