Rudi kwenye Ukumbusho
Ridhiwani Hemed Msangi

Ridhiwani Hemed Msangi

Mhadhiri

Hali: Alitoweka

Tarehe: 2021-07-31

Eneo: Iringa, Tanzania

Maisha

Ridhiwani alikuwa mhadhiri Chuo Kikuu cha Mkwawa, tawi la Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

Mazingira

Alipotea mkoani Iringa mwishoni mwa mwezi Julai 2021. Hajapatikana mpaka leo.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025