Rudi kwenye Ukumbusho
Benson E.A. Ishungisa

Benson E.A. Ishungisa

Dereva wa bodaboda

Hali: Alitoweka

Tarehe: 2023-11-26

Eneo: Yombo, Dar es Salaam

Maisha

Benson alikuwa dereva wa bodaboda anayefanya kazi Makangarawe.

Mazingira

Alitekwa na watu waliojitambulisha ni askari polisi tarehe 26 Novemba 2023 akiwa nje ya Hospital ya Makangarawe Yombo. Alikuwa akimsubiri abiria. Hajapatikana mpaka leo.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025