Rudi kwenye Ukumbusho
Prosiper Theonas Mnjari

Prosiper Theonas Mnjari

Mpangaji

Hali: Alitoweka

Tarehe: 2024-01-01

Eneo: Chamazi, Dar es Salaam

Maisha

Prosiper alikuwa mpangaji wa nyumba Chamazi.

Mazingira

Alitekwa na watu waliojitambulisha kuwa ni askari wa Polisi na walikuwa wameongozana na watumishi wa TANESCO. Watekaji wao walisema nyumba yao ina deni kubwa sana la umeme yeye akajibu kuwa ni mpangaji tu awaunganishe na mwenye nyumba lakini walikataa na kuondoka naye. Hajapatikana mpaka sasa.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025