Rudi kwenye Ukumbusho
Hamza Said

Hamza Said

Katibu wa chama cha NCCR Mageuzi

Hali: Alitoweka

Tarehe: 2023-12-17

Eneo: Mwatulole, Geita

Maisha

Hamza alikuwa Katibu wa chama cha NCCR Mageuzi mkoa wa Geita.

Mazingira

Alitekwa tarehe 17 Decemba 2023 nyumbani kwake mtaa wa Mwatulole na watu waliojitambulisha ni askari polisi. Hajapatikana mpaka leo.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025