Rudi kwenye Ukumbusho
Kombo Mbwana Twaha

Kombo Mbwana Twaha

Raia

Hali: Alitoweka

Tarehe: 2024-06-15

Eneo: Handeni, Tanga

Maisha

Kombo alikuwa raia wa kawaida anayeishi Handeni.

Mazingira

Alitekwa nyumbani kwake na watu waliojitambulisha ni askari polisi tarehe 15 Juni 2024. Polisi walikanusha kuhusika lakini siku 29 baadaye walikiri kumshikilia.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025