Rudi kwenye Ukumbusho
Rajabu Mdoe

Rajabu Mdoe

Raia

Hali: Alitoweka

Tarehe: 2021-12-26

Eneo: Kariakoo, Dar es Salaam

Maisha

Rajabu alikuwa mkazi wa Dar es Salaam.

Mazingira

Alitekwa tarehe 26 Decemba 2021 eneo la Kamata, Kariakoo akiwa na wenzake wanne. Watekaji walijitambulisha kuwa ni askari polisi. Hajapatikana mpaka sasa.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025