Rudi kwenye Ukumbusho
Edgar Mwakalebela

Edgar Mwakalebela

Raia

Hali: Asiyeonekana

Tarehe: 2024-06-23

Eneo: Ubungo, Dar es Salaam

Maisha

Edgar alikuwa raia wa Dar es Salaam.

Mazingira

Alitekwa tarehe 23 Juni 2024 Ubungo. Akapelekwa kituo cha polisi OysterBay na baadaye Arusha kabla ya kupatikana tarehe 27 Juni 2024 mkoani Katavi porini akiwa ametapakaa majeraha.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025