Rudi kwenye Ukumbusho
Samuel Matiko Mkongo

Samuel Matiko Mkongo

Mzee

Hali: Alitoweka

Tarehe: 2023-01-27

Eneo: Geita, Tanzania

Maisha

Mzee Samuel alikuwa mkazi wa Geita.

Mazingira

Alitekwa mkoani Geita tarehe 27 Januari 2023 na askari polisi Sgt. Hamis na kupelekwa kituo cha Muriaza-Butiama, Mara. Ndugu wakamuona akiwa ametapakaa majeraha, lakini waliporudi hawakumkuta tena kituoni na hajaonekana mpaka leo.

Ukumbusho wa Tanzania 2015 - 2025